资讯

Huduma hii mpya ya mizigo kwa njia ya anga, inayoendeshwa na kampuni ya Tanzania ya Xerin Group Limited, itatumia ndege aina ya B737-800 freighter yenye uwezo wa kubeba hadi tani 20 kwa safari moja.
Bajeti hiyo inayoanza kutekelezwa kesho, inang’ata na kupuliza kwa wafanyabiashara na bodaboda ambao wameondolewa baadhi ya ...
Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF Abdul-razak Badru. Wastaafu na wanachama wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma, (PSSSF) sasa wana kila sababu ya kutembea kifua mbele baada ya serikali kuongeza ...
CHAMA cha Madaktari Tanzania (MAT), kimetoa neno kuhusu kikokotoo cha wastaafu baada ya serikali kutangaza kuongeza mafao ya mkupuo kwa wastaafu na kueleza kuwa matamanio yao yalikuwa ni ongezeko kwa ...
HIi itakuwa ni mara ya kwanza kwa mechi yoyote ya ligi za ndani ya vilabu Tanzania bara, kuchezeshwa na waamuzi wa kigeni.
DODOMA — Rais Samia Suluhu Hassan, ametahadharisha kuwa vyombo vya dola vitakuwa macho kipindi chote cha uchaguzi kwa ajili ...
Wasichana hao waliangua kicheko kusikia shirika lisiokuwa la kiserikali maarufu Foundation KENGE, linazunguza nao kuhusu matumizi ya mipira ya kondomo kama njia ya kujikinga mangojwa ya zinaa na ...