资讯

Huduma hii mpya ya mizigo kwa njia ya anga, inayoendeshwa na kampuni ya Tanzania ya Xerin Group Limited, itatumia ndege aina ya B737-800 freighter yenye uwezo wa kubeba hadi tani 20 kwa safari moja.
Bajeti hiyo inayoanza kutekelezwa kesho, inang’ata na kupuliza kwa wafanyabiashara na bodaboda ambao wameondolewa baadhi ya ...
Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF Abdul-razak Badru. Wastaafu na wanachama wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma, (PSSSF) sasa wana kila sababu ya kutembea kifua mbele baada ya serikali kuongeza ...
JUMLA ya tani 4,405 na kilo 472,183 za ufuta zimeuzwa katika Halmashauri za Kilwa, Mtama na Manispaa ya Lindi katika mnada wa Chama Kikuu cha Ushirika Lindi Mwambao mkoani hapa kupitia mfumo wa Soko ...
DODOMA — Rais Samia Suluhu Hassan, ametahadharisha kuwa vyombo vya dola vitakuwa macho kipindi chote cha uchaguzi kwa ajili ...