资讯

Watu 79 wakiwemo watoto 19, wamefariki dunia baada ajali ya basi iliyotokea katika jimbo la Herat, kaskazini magharibi mwa ...
Pacha walioungana, Abby na Brittany Hensel wametumia zaidi ya miaka 30 ya maisha yao wakiishi kwa mshikamano wa kipekee, ...
Hatimaye kiu ya muda mrefu ya wakazi wa Mbagala inakwenda kupata ahueni baada Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart) kusema ...
Mtu mmoja anahofiwa kufariki dunia baada ya kufukiwa na kifusi katika shimo linalotumika kuchimba dhahabu katika mgodi wa ...
Shirika la World Vision Tanzania limetimiza miaka 20 ya kutoa huduma za afya kwa watoto na jamii wilayani Nzega, mkoani ...
Katika harakati za kushawishi wadhamini kwa mtiania wa urais wa Tanzania wa Chaumma, Salum Mwalimu, mtiania mwenza wake, ...
Shirika la Huduma za Elimu la Aga Khan (AKES) kwa kushirikiana na Benki ya DTB limetoa ufadhili wa masomo kwa wanafunzi ...
Serikali imetoa zaidi ya Sh900 milioni kwa ajili ya kukarabati na kuboresha miundombinu na majengo ya Hospitali ya Mji wa ...
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga amethibitisha kushikiliwa kwa watuhumiwa ambao walibainika kufuatia ...
Katika hatua ya kuchangia utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050, Taasisi ya Self Microfinance Fund (Self Fund), ...
Katika kutatua changamoto za watu wenye ulemavu, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imetaja hatua inazochukua ikiwa ni ...
Wananchi zaidi ya 14,000 wa Kata ya Bwawani wilayani Arumeru mkoa wa Arusha, wameondokana na adha ya kufuata huduma ya afya umbali mrefu na kupelekea wagonjwa wengine kupoteza maisha njiani ...